
Aina za maneno
Authored by Joseph Musiori
Other
5th - 8th Grade
Used 37+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
16 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Sentensi gani kati ya hizi haina nomino?
Mama yangu ni mpishi hodari.
Alimpeleka hospitalini.
Mtumishi wa serikali amefika.
Lini Mwalimu atasahihisha mitihani?
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Nomino ni nini?
Majina ya watu.
Majina ya watu, wanyama na vitu vyote.
Majina yanayotoa habari zaidi kuhusu wanyama.
Majibu yote si sahihi.
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
10 sec • 1 pt
_________________ amefika shuleni. (Chagua jibu lisilo sahihi)
Mwewe
Mwalimu
Mbuzi
Kiti
Bawabu
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
10 sec • 1 pt
___mekula chakula kilichobaki. (Chagua kiwakilishi mwafaka)
Zi
Ki
Wa
Ya
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
10 sec • 1 pt
Yafuatayo ni aina ya maneno isipokuwa moja.
Vivumishi
Viwakilishi
Viundaji
Vitenzi
Nomino
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Mto ni aina gani ya neno?
Nomino
Kitenzi
Kiwakilishi
Kielezi
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
20 sec • 1 pt
Mama alimpata mtoto amelala kitandani. (aina gani ya neno lililopigiwa mstari?)
Kitenzi
Kielezi
Kivumishi
Nomino
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?