
Matumizi ya Lugha
Authored by Rukiyah Kadzo
World Languages
7th - 8th Grade
Used 3+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
15 questions
Show all answers
1.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 5 pts
Idadi ya silabi katika mshororo au ubeti huitwa
2.
FILL IN THE BLANK QUESTION
2 mins • 5 pts
Kamilisha methali:Kazi mbi________
3.
FILL IN THE BLANK QUESTION
2 mins • 5 pts
Msemo 'tia shime' unamaanisha
4.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 5 pts
Jibu la salamu hii ni:
Buheri___
5.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 5 pts
Fumbua fumbo lifuatalo.
Ni nini ambacho kinatembea lakini hakiwezi kukimbia?
6.
FILL IN THE BLANK QUESTION
1 min • 5 pts
Wakati kuanzia saa sita mchana hadi saa nane hujulikana kama
7.
FILL IN THE BLANK QUESTION
3 mins • 5 pts
Ngome ya Yesu katika Jiji la Mombasa ilijengwa na _____
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?