
MAHAKAMANI
Authored by Yaddar Abisai
World Languages
6th - 10th Grade
Used 7+ times

AI Actions
Add similar questions
Adjust reading levels
Convert to real-world scenario
Translate activity
More...
Content View
Student View
10 questions
Show all answers
1.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Mahakama ni jengo ambalo hutumiwa kwa shughuli za kusikiliza na kuamua kesi. Je, mwanasheria ambaye husikiliza na kukata kesi huitwa nani?
Wakili
hakimu
Kiongozi wa mashtaka
Karani wa korti
2.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Mtu anapokamatwa na polisi, hufungwa nini mikononi ili asitoroke?
vikuku
pingo
vipingu
nyororo
3.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Katoti alipatikana na hatia ya wizi wa ng'ombe baada ya jaji kuamua kesi yake. Je, Katoti alilipa malipo yapi kati ya haya?
Dhamana
Fola
Fidia
Faini
4.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Wakati wa kusikiliza kesi kuhusu wizi wa kimabavu, shahidi mmoja alitoa video aliyorekodi wizi huo ulipofanyika. Video hii ni mojawapo ya ushahidi ambao huitwa______
idhibati
ithibati
dungu
ushuhuda
5.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Mfanyakazi wa mahakamani ambaye huwasaidia washtakiwa, washtaki au mashahidi kula yamini anaitwa___
Karani wa korti
Kiongozi wa mashtaka
Wakili
mahabusu
6.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Ni nini maana ya kuruka kesi?
Kukubali kesi ili ikamilike haraka
Kukataa kukubali kesi ili ushahidi utolewe.
Kushinda kesi
Kukwepa kesi kwa ujanja
7.
MULTIPLE CHOICE QUESTION
1 min • 1 pt
Kwa kawaida kortini huwa na vizimba vingapi?
A. mbili
B. viwili
C. moja
D. kimoja
Access all questions and much more by creating a free account
Create resources
Host any resource
Get auto-graded reports

Continue with Google

Continue with Email

Continue with Classlink

Continue with Clever
or continue with

Microsoft
%20(1).png)
Apple
Others
Already have an account?