Kiswahili lugha

Kiswahili lugha

6th Grade

30 Qs

quiz-placeholder

Similar activities

Igbo Quiz

Igbo Quiz

3rd Grade - University

25 Qs

MATUMIZI YA AMBA-

MATUMIZI YA AMBA-

5th - 8th Grade

25 Qs

MATUMIZI YA -PO-

MATUMIZI YA -PO-

5th - 7th Grade

30 Qs

Concurso de ortografía

Concurso de ortografía

KG - University

33 Qs

Kiswahili lugha

Kiswahili lugha

Assessment

Quiz

Other

6th Grade

Hard

Created by

Nicholas Iddi

Used 34+ times

FREE Resource

30 questions

Show all answers

1.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Kanusha. Tumewasalimu wote kwa pamoja

Hatujamsalimu wote kwa pamoja

Hatukuwasalimu wote kwa pamoja

Tujawasalimu wote kwa pamoja

Hatujawasalimu wote kwa pamoja

2.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Nyambua katika hali ya kutendesha. La-

Lalisha

Laza

Lisha

Liza

3.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Sentensi gani kati ya hizi haina nomino?

Mama yangu ni mpishi hodari.

Alimpeleka hospitalini.

Mtumishi wa serikali amefika.

Lini Mwalimu atasahihisha mitihani?

4.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Nomino ni nini?

Majina ya watu.

Majina ya watu, wanyama na vitu vyote.

Majina yanayotoa habari zaidi kuhusu wanyama.

Majibu yote si sahihi.

5.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Yafuatayo ni aina ya maneno isipokuwa moja.

Vivumishi

Viwakilishi

Viundaji

Vitenzi

Nomino

6.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Mto ni aina gani ya neno?

Nomino

Kitenzi

Kiwakilishi

Kielezi

7.

MULTIPLE CHOICE QUESTION

30 sec • 1 pt

Mwanaharamia __________________ mashua. (Jaza nafasi kwa kitenzi sahihi.)

kilikamata

Yalikamata

Amekamata

walikamata

Create a free account and access millions of resources

Create resources

Host any resource

Get auto-graded reports

Google

Continue with Google

Email

Continue with Email

Classlink

Continue with Classlink

Clever

Continue with Clever

or continue with

Microsoft

Microsoft

Apple

Apple

Others

Others

By signing up, you agree to our Terms of Service & Privacy Policy

Already have an account?